top of page
Search

UMUHIMU WA UTUME WA WASOMI/WANATAALUMA KATIKA KAZI YA KICHUNGAJI NA UMISIONARI TANZANIA. (III)

  • Writer: CPT Media
    CPT Media
  • Oct 22
  • 1 min read

CHANGAMOTO ZINAZOUKABILI UTUME WA CPT NA MWELEKEO WA MBELE.


Changamoto Kuu

Katika miaka ya utekelezaji wa utume wake, Christian Professionals of Tanzania (CPT) imeendelea kufanya kazi kwa mafanikio makubwa katika ngazi ya kitaifa. Hata hivyo, pamoja na juhudi kubwa zilizofanywa, bado haijafanikiwa kupenya kwa kiwango cha kuridhisha katika ngazi za Majimbo na Parokia.


Sikiliza sehemu hii ya pili kupitia channel yetu ya Youtube https://youtu.be/tncefgL7weg?si=ZeSvO_CeW_DJxlw0, pia pakua nakala iliyoambatanishwa hapa kwaajili ya rejea.


ree

 
 
 

Comments


Sheria na Masharti

Taarifa ya Ufikiaji

© Wataalamu wa Kikristo Tanzania (CPT)

  • Facebook
  • Instagram
  • YouTube
bottom of page