top of page

CPT & TMCS Alumni Forum

Jumapili, 13 Jul

|

Ukumbi wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph

Mandhari: Maana na Umuhimu wa Utume wa Wasomi Wakatoliki katika Jamii. Imetolewa na: Fr. Vic Missaen.

Usajili umefungwa
Tazama matukio mengine
CPT & TMCS Alumni Forum
CPT & TMCS Alumni Forum

Time & Location

13 Jul 2025, 08:00 – 15:30

Ukumbi wa Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph, 24 Sokoine Dr, Dar es Salaam, Tanzania

About the event

CPT NA TMCS AlumNI FORUM 2025.


Jumuiya ya Wanataaluma wa Kikristo Tanzania (CPT) inawakaribisha Wahitimu wote wa TMCS (TANZANIA MOVEMENT OF CATHOLIC STUDENTS) kujumuika kwenye jukwaa maalum lenye lengo la kuimarisha nafasi ya wanataaluma wa kikatoliki na kujenga ushirikiano mkubwa katika kulitumikia Kanisa na jamii.


Tarehe: Jumapili, Julai 13, 2025

Muda: Tukio litaanza saa 8:00 asubuhi kwa adhimisho la Misa Takatifu

Mahali: Kanisa Kuu la Mtakatifu Joseph, Dar es Salaam


MAWASILISHO MUHIMU.

Share this event

Event Info: Events

Sheria na Masharti

Taarifa ya Ufikiaji

© Wataalamu wa Kikristo Tanzania (CPT)

  • Facebook
  • Instagram
  • YouTube
bottom of page